Unordered List

Pages

Monday, October 29, 2012

Uchaguzi wa madiwani vurugu tupu

*Mkoani Arusha risasi za moto zarindima mchana kweupe*Songea, wafuasi wa CCM, CHADEMA wakatana mapanga*Chadema yashinda Ludewa, CCM yashinda SongeaMBUNGE wa Viti Maalum, Rahel Mashishanga (CHADEMA) pamoja na Katibu wa Chadema Jimbo la Nyang’hwale mkoani Geita, Michael Ndege, wamenusurika kuuawa baada ya kuvamiwa na kisha kupigwa na kukatwa mapanga na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Viongozi hao walivamiwa jana katika matukio tofauti, ambapo Mashishanga anadaiwa kuvamiwa jana asubuhi, alipokuwa akiangalia mwenendo wa uchaguzi wa udiwani katika vituo vya kupigia kura, katika Kata ya Mwawaza, mkoani Shinyanga. Akiwa katika kazi hiyo, inasemekana mbunge huyo alivamiwa na kundi la vijana, wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa CCM. Akizungumza na MTANZANIA jana kwa...

Pages 51234 »
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Powered by Blogger