Unordered List

Pages

Friday, September 28, 2012

CCM YASHINDA UMEYA JIJI LA MWANZA

UFAFANUZI KILICHOTOKEA KWENYE UCHAGUZI WA UMEYA WA JIJI LA MWANZA KATI YA CCM NA CHADEMA. Mgombea wa kiti cha umeya katika Halmashauri ya jiji la Mwanza kupitia CCM na diwani wa kata ya Mkolani Ndg Stanslaus Mabula, ameshinda kiti cha Umeya wa Halmashauri ya Nyamagana kwa jumla ya kura 11 dhidi ya mgombea wa CHADEMA diwani wa kata ya Mahina Ndg Charles Chibara aliyepata kura 8. CCM wameshindishwa na mbinu za kisiasa amabzo uhalali wake kisheria linabaki kuwa suala la wanasheria wanaojua taratibu zikoje kutufafanulia. Baada ya mgawanyo wa Halmashauri ya jiji la Mwanza na kuwa na halmashauri ya jiji inayoundwa na Majimbo mawili, kulipatikana Halmashauri ya Nyamagana inayoundwa na Jimbo la Nyamagana na halmashauri ya ilemela inayondwa na jimbo la Ilemela. Mgawanyo huo ulifanyika...

Thursday, September 27, 2012

ZITTO KABWE KUGOMBEA URAISI 2015

Mbune wa Kigoma  mh. ZITTO KABWE athibitisha kwamba atagombea URAIS 2015,   hayo ameyasema wakati akihojiwa na mwendesha kipindi cha amplifire Millard Ayo. Zitto kupitia amplifer ya CLOUDS FM akasema ya kwamba Atagombea kupitia CHADEMA kwa hivyo wale mlio na wasiwasi huo ndio ukweli. Asema kuna watu wanajidai wao ni CHADEMA zaidi ya wengine wakati yeye amekuwa mwanachama wa CHADEMA tokea ana miaka 16...... Miaka 10 ya ubunge inamtosha hivyo anataka kwenda hatua nyingine kisiasa na anazo AGENDA za msingi za kusimamia hivyo yeye ni tofauti na wanasiasa wengine wanaoutaka urais kama sifa    source; CLOUDS FM ANPLIFER NA MILLAD AYO "}" href="https://www.facebook.com/groups/tanurulafikra/379769648760461/?notif_t=group_activity#" id=".reactRoot[18]" title="Like...

COMRADE SAMABALA AGOMBEA UENYEKITI WA UVCCM MKOA WA DODOMA

       Mwanasiasa na mwanzilishi wa group maarufu la Tanuru la Fikra katika mtandao maarufu wa facebook, hatimaye amefunguka na sera ambazo zitamwingiza kwenye cheo hicho chipya endapo kama wanachama wa Dodoma (UV-CCM) watamchagua katika kinyang'anyiro hicho. na haya ndio maneno yake kwenye ukurasa wa facebook ‎>----SAFARI NDEFU YA MAFANIKIO INAENDELEA--------> *...SHUKRANI ZANGU KWA WOTE NINAOWAPENDA...* Ndugu zangu wana TANURU LA FIKRA Na Watanzania wenzangu wote kwa Ujumla. Jioni ya Leo napenda kuchukua fursa hii kusema Machache kwenu.:- 1. Kwanza Nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu...

Pages 51234 »
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Powered by Blogger